Vp mkuu wameshapanga majina kwa ajili ya acomodation????
Mkuu mimi nimechaguliwa Education na ninataka kubadili sasa kuna tangazo wanadai wale wa Education hawaruhusiwi kuhama kozi. Je hii ilikuwepo miaka yote au imeanzia kwetu? Je Inawezekana ikawa ni njia yakupunguza wingi wa maombi ila wanaruhusu chinichini?
Kwaiyo kuna uwezekano wakawa wamebandika majina chuo au?itakua weishapanga,maana hata cc kwenye account zetu za aris kile kipengele cha application for accomodation kimefungwa tangu last week,that means hawapokei maombi tena.
Dogo wito wa ualimu umekutoka?Mkuu mimi nimechaguliwa Education na ninataka kubadili sasa kuna tangazo wanadai wale wa Education hawaruhusiwi kuhama kozi. Je hii ilikuwepo miaka yote au imeanzia kwetu? Je Inawezekana ikawa ni njia yakupunguza wingi wa maombi ila wanaruhusu chinichini?
xa na sie wa pspa mbona 2naambiwa kuwa cyo nzur?
Ndivyo. Lakini nafasi hutokeaThank u sana...kwaiyo kama hamna nafasi siwezi kuama
Ndivyo. Lakini nafasi hutokea
Ukifika,nitafutebs sawa..asnt
xa na sie wa pspa mbona 2naambiwa kuwa cyo nzur?
Na wewe kwa uandishi huu unaenda Mlimani!?
Kwan mliman k2 gan??uandishi unahusiana nin na mliman?