joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Huna unalojua zaidi ya flying toilets, kuna phases tano na kila phase inajitegemea kabisa, kila phase ni different project tunaanza kwa kutafuta pesa kwa kila phase, zikipatikana tender inatangazwa na mkandarasi akipatikana hiyo phase inazinduliwa na ujenzi unaanza. Tanzania leads the way others do copy and past.Sounds funny mnajenga straight mnazindua twice, wanaojenga kwa hawamu (whatever it is) wanazindua once.