joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Huna unalojua zaidi ya flying toilets, kuna phases tano na kila phase inajitegemea kabisa, kila phase ni different project tunaanza kwa kutafuta pesa kwa kila phase, zikipatikana tender inatangazwa na mkandarasi akipatikana hiyo phase inazinduliwa na ujenzi unaanza. Tanzania leads the way others do copy and past.Sounds funny mnajenga straight mnazindua twice, wanaojenga kwa hawamu (whatever it is) wanazindua once.
Huna unalojua zaidi ya flying toilets, kuna phases tano na kila phase inajitegemea kabisa, kila phase ni different project tunaanza kwa kutafuta pesa kwa kila phase, zikipatikana tender inatangazwa na mkandarasi akipatikana hiyo phase inazinduliwa na ujenzi unaanza. Tanzania leads the way others do copy and past.
Mzee reli sio ghorofa useme huwezi kujenga ghorofa ya 5 kabla ya yakwanza uliza maswali yenye logic kama hujui aina hii ya Ujenzi inaitwa simultaneously construction.Phase one imekwisha ???? Swali dogo sana
Tushawaacha tayari Isaka to Kigali ni October construction will begin na dodoso ni two firms will construct the line in 2 years, means mpaka 2020 November train ya umeme itaanza safari.I love the idea of JPM to run the phases of SGR concurrently...that he wants all the phases to be complete within a short interval of time...This is a race kenyans cn't win to reach othr landlocked countries bfore TZ.....kuna mtu ataachwa na mataruma hapa nshaona
Duuu...hii speed ni hatar...kwa namna hyo Dodoma to Isaka itabidi kianze fasta ili kucatch up kile cha isaka to kigali...Ndo maana yule kiongoz wa uturuki wa yapi markez alisema we r giving the best deal to Tanzania to receive more contracts frm them...n we shall provide the best SGR ever in Africa.Mzee reli sio ghorofa useme huwezi kujenga ghorofa ya 5 kabla ya yakwanza uliza maswali yenye logic kama hujui aina hii ya Ujenzi inaitwa simultaneously construction.
October wataanza tena Ujenzi wa Isaka to Kigali andaa maswali mengine ya kipumbavu kama haya.
Mzee reli sio ghorofa useme huwezi kujenga ghorofa ya 5 kabla ya yakwanza uliza maswali yenye logic kama hujui aina hii ya Ujenzi inaitwa simultaneously construction.
October wataanza tena Ujenzi wa Isaka to Kigali andaa maswali mengine ya kipumbavu kama haya.
Mzee wa copy and PAST, phase inayofuata Ni ipi na inaanza liniHuna unalojua zaidi ya flying toilets, kuna phases tano na kila phase inajitegemea kabisa, kila phase ni different project tunaanza kwa kutafuta pesa kwa kila phase, zikipatikana tender inatangazwa na mkandarasi akipatikana hiyo phase inazinduliwa na ujenzi unaanza. Tanzania leads the way others do copy and past.
Tuliza mshono huo, endelea ku PAST taratibu[emoji1] [emoji1] [emoji1]Mzee wa copy and PAST, phase inayofuata Ni ipi na inaanza lini
wewe ni mkenya tofauti sana unafaa sana kuwepo mahala hapa..Wakenya wenzangu huwa wanafki sana, SGR ya kenya ilianza kupangwa na kutafutiwa mfadhili mwaka wa 2010. Miaka nane sasa imepita; only 460 Km zimekamilishwa, train yenyewe ni ya diesel bado stima. JPM ameaza kazi 2016, mwaka moja na nusu baadaye kadarasi zipo na kazi inaendelea.
Kama mnataka kulinganisha upesi wa ujenzi wa SGR, Linganisha TZ SGR 2018 Na kenya SGR 2012 . Mwaka wa 2012 bado kenya hata kadarasi haikuwepo, Mifisadi ilikuwa iko busy ikiongeza fedha angalau ikule ka 10%
hajibu mtu huu msuto!Wakenya wenzangu huwa wanafki sana, SGR ya kenya ilianza kupangwa na kutafutiwa mfadhili mwaka wa 2010. Miaka nane sasa imepita; only 460 Km zimekamilishwa, train yenyewe ni ya diesel bado stima. JPM ameaza kazi 2016, mwaka moja na nusu baadaye kadarasi zipo na kazi inaendelea.
Kama mnataka kulinganisha upesi wa ujenzi wa SGR, Linganisha TZ SGR 2018 Na kenya SGR 2012 . Mwaka wa 2012 bado kenya hata kadarasi haikuwepo, Mifisadi ilikuwa iko busy ikiongeza fedha angalau ikule ka 10%
Unakufaje wakati tunafanya uwekezaji Mkubwa namna hiyo? Tanzania ni miongoni mwa nchi tano za Afrika ambazo uchumi wake unakua kwa kasi kubwa. Tunajenga Reli ya Kisasa, tunajenga Mradi mkubwa zaidi wa kufua umeme wa maji Rifiji, Viwanda vikubwa vya Cementi vinajengwa Tanga na Mkuranga, Tunajenga barabara za lami za km nyingi tu. Cha msingi na sisi tujitume katika shughuli zetu binafsi ili kujiletea maendeleo. Maendeleo ni vita, siyo lelemama ndo maana wengine hadi wanaanzisha vita katika nchi zenye resource ili wao waende kuiba resource huko wakati nyie mkihangaika na vita. hata haya tunayofanya ya kuwekeza katika miradi mikubwa kiasi huki mapebari wa ndani na nje hawapendi. Hivyo tunapaswa kushikamana sisi walahoi.Sawa lakini uchumi unakufa kifo cha memde!
uchumi wa ethiopia sio a collective economy unlike Tanzania ambapo wakulima wanafutiwa ushuru...kilimo kinaamka xo inagusa hadi watu wa chini kabxa...thats why Tz imekuwa ya kwanza Africa for collective economy in whch ethiopia n other African countries failedHiyo miundombinu Ethiopia wanayo kitambo sana, leo tunashuhudia wakimbizi mamia kwa maelfu vijana wa kiithiopia wanakimbia kwao, nyerere alisema uchumi mzuri ni wa watu sio wa vitu!
Sema nivyema tuwe na uchumi jumuishi. Watu na vitu. Lakini point yako bado ni nzuri. Resource number moja duniani ni watuHiyo miundombinu Ethiopia wanayo kitambo sana, leo tunashuhudia wakimbizi mamia kwa maelfu vijana wa kiithiopia wanakimbia kwao, nyerere alisema uchumi mzuri ni wa watu sio wa vitu!
Very true. Isiwe GDP ya kwenye makaratasi. Ilete uwarisiauchumi wa ethiopia sio a collective economy unlike Tanzania ambapo wakulima wanafutiwa ushuru...kilimo kinaamka xo inagusa hadi watu wa chini kabxa...thats why Tz imekuwa ya kwanza Africa for collective economy in whch ethiopia n other African countries failed
na deni za stima hamwezani nayo??ππππ banks zote TZ bad debts za pita repaid.. hahahahaha π±πππhajibu mtu huu msuto!
upo tofauti sana bro ndio maana wakenya wengi wa jf wanakuchukia.Wakenya wenzangu huwa wanafki sana, SGR ya kenya ilianza kupangwa na kutafutiwa mfadhili mwaka wa 2010. Miaka nane sasa imepita; only 460 Km zimekamilishwa, train yenyewe ni ya diesel bado stima. JPM ameaza kazi 2016, mwaka moja na nusu baadaye kadarasi zipo na kazi inaendelea.
Kama mnataka kulinganisha upesi wa ujenzi wa SGR, Linganisha TZ SGR 2018 Na kenya SGR 2012 . Mwaka wa 2012 bado kenya hata kadarasi haikuwepo, Mifisadi ilikuwa iko busy ikiongeza fedha angalau ikule ka 10%
Mzee reli sio ghorofa useme huwezi kujenga ghorofa ya 5 kabla ya yakwanza uliza maswali yenye logic kama hujui aina hii ya Ujenzi inaitwa simultaneously construction.
October wataanza tena Ujenzi wa Isaka to Kigali andaa maswali mengine ya kipumbavu kama haya.