Elections 2010 Live: Sherehe za kuapishwa Rais wa Zanzibar Mh Dr Shein

Kikwete keshakuwa Rais au kaalikwa kama mwenyekiti wa CCM? Mbona hii ni kizunguzungu jamani? Anyway tunawatakia maisha mema wote
 
JK ameenda kwenye sherehe kama nani?
 
Kwa mujibu wa katiba ya JMT, Kikwete ni Rais hadi Rais mwingine atakapoapishwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…