Live:Simba SC Vs Prison,Uwanja wa Taifa 11/2/2017

Live:Simba SC Vs Prison,Uwanja wa Taifa 11/2/2017

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Tupo live uwanja wa taifa hapa kukuletea matangazo ya moja kwa moja ya Moira kati ya Simba Taifa kubwa na Tanzania Prison ya Mbeya

Mpaka sasa Dakika ya 42 mpira ni mkali sana na Simba inaongoza kwa bao Mbili

Updatea 43' Simba 2- Prison 0
Mpira ni mapumziko
Simba 2 magoli yakifungwa na Juma Luzio na Ajibu
Simba wameongeza goli la 3 wakati Prison bado wana 0
 
Tuliimwambia kocha kwa nini Ajib aingie kama sub?anaweza kuona matokeo
 
Haya tena kipindi cha pili kinanza... Leo ni juu ya kilele
 
Yaan ni mbele kwa mbele sie waleee wauza ngada [emoji102] yamewatoka
 
Nimejifunza kuwa Simba hii unatakiwa uipende kiasi.....maana leo wanakufuhisha kesho wanakutia presha na bp juu......
 
Back
Top Bottom