Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni pronostic yake sasa ila hadi sasa Motema anaongoza moja bila.Nafahamu kuna mipIra miwili...ila kuna member humu anasema simba 1- motema 1
game ya u23 inaanza saa ngapi? Tuone kama julio ataonyesha kuwa makocha wazawa wanaweza na sio kuwa wanabahatisha.
Jamani mi mwanayanga lakini sina raha na hayo matokeo, kwa leo naenda simba kwa mkopo. Mungu tusaidie!Acha utoto kama unanyege na Yanga usichangie chochote unatupotosha! maana ya live nini?
Simba wanaonekana kuchanganyikiwa na lile goli. Sasa wanashambuliwa sana.
Bora half time ifike wakajipange upya.
2nd half...............nigeria 1 tanzania 0
[td="class: Blue4, bgcolor: #ffffff"]47[/td]
[td="bgcolor: #ffffff"]tanzania come close again, ulimwengu(who else) gets goal side of ajiboje but the keeper saves with his legs.[/td]
[td="bgcolor: #ffffff"][/td]
[td="class: Blue4, bgcolor: #ffffff"]46[/td]
[td="bgcolor: #ffffff"]second half is underway. Nigeria is lead 1-0 from the first half. No changes to report. First chance falls tanzania's way but it is wasted.[/td]
Kishongo unawapa watu Presha zisizo na msingi wengi wanafikiria Simba ndio moja-moja sasa hapo umemaanisha Vijana under 23 sio ndio 1-1?
Duh tumepigwa mbili (vijana Stars)
| Yellow card to Manjamani Abdul after a very bad challenge on Kingsley Udoh |
| Two chances in quick succession for Ahmed Musa but the Venlo Man is not having a great day |
| Haruna takes the corner but the chance goes up in smoke. |
<br>Jamani mi mwanayanga lakini sina raha na hayo matokeo, kwa leo naenda simba kwa mkopo. Mungu tusaidie!<br>Acha utoto kama unanyege na Yanga usichangie chochote unatupotosha! maana ya live nini?
dakika ya tano nigeria u23 1 sie 0