Tusianze kutafuta visingizio kwamba kutakuwa na fitina kwenye mechi ya marudiano, wote ni mashahidi wa mpira ulivyokuwa, yanga wamecheza vizuri labda walikuwa na hofu tu kwani walipaswa kutumia nafasi walizozipta vizuri, ila Zamalek ni timu nzuri hata bila fitina na hizi timu zinajua jinsi ya kutumia advantage ya kucheza nyumbani sio timu zetu za simba na yanga.