Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Nikiwa na wewe wala sita Zima simu yangu au kuiacha silent! Nitakupa na password zote, utakuwa na access zote za kwangu, ila Nina wivu sana japo siwezi kuthubutu hata kukupiga kofi.

Wow wewe ndio mzuri sasa. Inabidi sifa za ziada unipm okay bebito.

Nakupenda sana yaani nakuahidi nitakutoa machozi ila siyo ya huzuni bali ya furaha, welcome to my world.

Ila sasa ukumbuke nimeolewa atii. mmmh sasa sijui itakuaje?

Hivyo hivyo tu, tutajua mbele ila nitakulinda, sita kupigia simu ukiwa nae kwani akikupiga nitashindwa kuvumilia honey, haya utani save vipi ktk simu yako?

Nimeolewa humu ujue. Ana wivu mume wangu, naye ananipenda sasa nani zaidi ndio hapo.

Najua ila namimi ndiyo nishakupenda hivyo, sitakuacha peke yako mpaka muda kama huu, tutakuwa kama mapacha, plz nipe nafasi nikupe mapenzi yangu.

Kesho kigiza kikiingia nitakujibu. Mume wangu wiki yote hiyo inayokuja atakuwa busy sana.

Basi powa! Itakuwa vizuri! Ila namba yangu usiisave MCHORA. KUCHA nikigundua nitalia sana.

Powa usiku mwema. Nitasave jina zuri tu la kiume hata hilohilo lako huwa hashiki simu yangu, ananiamini sana.

Haya usiku mwema, kumbuka nakupenda sana, usisahau kuniPM asubuhi.

We Rich Pol ndo maana upati mke kazi kumendea wake za watu tu.
 
Last edited by a moderator:
jamani me bado niko single nataka mume anaejua kubembeleza kama Excel asiwe mkorofi kama @aspirin awe mpole mpole kama babu yangu watu8 awe anajua kuhonga picha na mizawadi kama tayta asiwe mpenda michepuko kama Nicas Mtei
awe na upendo wa agape kama my dad Arushaone
chance hiyoooooo valentine ya mwakani staki kula alone
 
Last edited by a moderator:
jamani me bado niko single nataka mume anaejua kubembeleza kama Excel asiwe mkorofi kama @aspirin awe mpole mpole kama babu yangu watu8 awe anajua kuhonga picha na mizawadi kama tayta asiwe mpenda michepuko kama Nicas Mtei
awe na upendo wa agape kama my dad Arushaone
chance hiyoooooo valentine ya mwakani staki kula alone

jamani neddy!

habari za asubuhi mtoto mzuri? jamani imagine mimi ndiye mwanaume wa kwanza kukupa like!

ina maana wengine wooooooooote hawajaona kilio chako au?

come to me my white girl! usiogope kuwa wawili!

wanawake kusaidiana bana!
 
jamani neddy!

habari za asubuhi mtoto mzuri? jamani imagine mimi ndiye mwanaume wa kwanza kukupa like!

ina maana wengine wooooooooote hawajaona kilio chako au?

come to me my white girl! usiogope kuwa wawili!

wanawake kusaidiana bana!

wewe una mke tayari mambo ya kunifanya spare hayakubaliki
 
halafu miss neddy ndo tabia gani hiyo ya kunimention halafu unanifuta jamani?

yani niliimagine umesema '' excel i love you ''!! '' come and kiss me switie''!!

you see how romantic the words are?

halafu ghafla unafuta!
 
Last edited by a moderator:
wewe una mke tayari mambo ya kunifanya spare hayakubaliki

usiwe na hasira za mbogo neddy!

mtoto mzuri kama wewe hatakiwi kupata shida wala kuongea kwa loudspeaker namna hiyo!

come to me!

give it to me gve it to me radically...!
 
Ndio nini kunianika barazani na Rich Pol?
Sasa ndio nitajua kama mume wangu ananipenda au nitegemee talaka. Jirani vibaya hivyo, imebidi nikurupuke usingizini.
cc: Shansarie

habari za asubuhi jirani?

umeamka salama?
 
usiwe na hasira za mbogo neddy!

mtoto mzuri kama wewe hatakiwi kupata shida wala kuongea kwa loudspeaker namna hiyo!

come to me!

give it to me gve it to me radically...!

acha kunizibia ridhizi ya nini unipe chakula niwe nakula gizani tena wima wima
ngoja nisubiri mahanjumati nitakayoweza kula kwa kujinafasi
 
halafu miss neddy ndo tabia gani hiyo ya kunimention halafu unanifuta jamani?

yani niliimagine umesema '' excel i love you ''!! '' come and kiss me switie''!!

you see how romantic the words are?

halafu ghafla unafuta!

hahahahahahaha unaota eeeeeh
 
Last edited by a moderator:
dah.. ila jirani na wewe umeolewa mapema sana!

nani lakini anaekutatiza?

Sungura1980 baada tu ya kukutana hee akasema anogopa kuibiwa, ikabidi ndoa ya rasharasha ifungwe jirani.
Sasa jana nikapitia ile nyumba ya mtongozano kuna kijana pale Rich Pol yuko tayari hata kuwa kidumu ila sijampa jibu bado.
 
Back
Top Bottom