Hahahahaaa kumbe na wewe uko kutema madini huku........ lazima watu wawajibike wasipowajibika kwa hiari basi watawjibika kwa shuruti maana naona wanasahau majukumu yao kwa wapenzi wao
Nikilala nakuota mpenzi wangu.
Nalog off
Usinifanye hivyo Mtoto wa mwanamke mwenzio, hata mimi ninaroho na naumia sana, angekuwa anakujari angekuwepo hapa, nakuahidi hautajuta kwangu, dakika moja sipo na wewe utaona kama mwaka.
Unatafuta kufyatuliwa wewe
unamjua jirani yako mmoja hivi anaitwa lusungo?
Kila mtu anahisia, bora niwe official kuliko kumhangaisha bint wa watu, ngoja nimpe good time.
Si utafute wako? Acha kuzengea vya wenzio
Nimechoka kutongoza tongoza, mwenyewe si hayupo kwanini nisikae tu!.
Mi simo kabisaaa
Best hebu ninong'oneze kidogo, saa tisa unakuja na maamuzi gani?
mhhhhhhhh ni yule muhubiri au
am new here and i real lyk wht u r doing, congrats guys.
kiwatengu inaonekana wadau jana hawakuwa lonely maana uzi huu umewasaidia sana.
haswaa!!! watu wameponea humu mkuu!
how was your valentine?