nooo!! mimi sikusema chochote kuhusu promo!
kwanza eiyer amepigwa ban ya mwaka mzima.. unaelewa manake lakini?
Si kweli leo tu nilikuwa nachati nae kwenye thread moja ya shemeji yangu huyu ipo jukwaa la mpz....
Hiyo ni kazi kubwa bora ungeniambia some traits naweza zisoma kupitia post na comments zako japo pia sio determinant ...but wanasema kimtokacho mtu ndicho kilichojaza moyo wake rty?
come on rosita..! huyu jamaa kapumzishwa.. yeye huwa anakesha! sasa kwanini leo hayupo?
fikiria rosita, uko sehemu salama kabisa!
enheeee!!! kumbe unaongea na ngeli eenh? ngoja nichukue dikishonari nije!
Hahaaaa umeona hee..i am a perfect lady for eiyer
Ooh how am I suppose to.live without him...kesho wanasms mods wamtoe kwwnye hicho kifungo japo ckuamini sana naamini atakuwa kalala now coz kazi.za shamba zinachosha.
mi ndo nakwambia sasa...!! eiyer kapigwa ban!
halafu sasa nikwibie siri, ukiwasumbua mods, wankuweka kifungoni mara mbili!
si unajua sheria ni msumeno eenh!?
Niko tayari....tutahamia whts na eiyer wangu...kuhusu miaka ucjali niko around robo karne I can take care of him and our coming children.
haya mama.. kesho asubuhi ntamfungulia.. unajua kutoa like kweli?
kwani wasiwasi wako nini? hakuna foleni wala nini tena kwa taarifa yako, i'm the only man who is straight foward in this house,
so hebu ikifika jioni usogee karibu zaidi yangu uone utamu.
sasa unataka tablet au laptop?
Mzee nimegundua mchumba wangu princess enny hana simu, kesho nafanya mpango nimnunulie iPad.
Hee tena afadhali umerudi jirani yangu,huyu mumeo sikuhizi kaanza urafiki na yule bazaz mpya Excel Huyu jamaa sio salama kabisa siunaona mumeo nae ameanza kua na vielementi