Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

aise, mbona atakuja tu!!
do you love him much?
yes i do! Kiwatengu jaman kuja hapa mie mtoto mlain mpaka ngoz ya kisigino! Nimekuja nataka nkupe upako wa jumapili plz!... Am so sory shansarie! I want ua hubby kiwatengu, maana kila siku nimekua nkimuota hahah yeye pamoja na Excel, am sure ninawaweza woote wawili,,yes yes wonders shall never end! Plz naomba mje kusikiliza hoja yangu walengwa hapo juu!#okbye?
 
mi nifungiwe ndani kwa ajili gani?
shansarie na mimi, tunaaminiana. japo kuwa kikojoleo changu kakifunga kwa codes..



charty charty charty, unajua shida ni kuwa kila
nikija hapa wewe haupo na wewe ukija huwa unanyemelea,
leo nimesikia harufu yako ile nakuja nakuta ushaondoka.
sasa sikia, ukija tena nishtue.

kiwatengu! Mie ndo nshatia timu,sikia kuhusu hzo codes mkeo alizokuwekea kwenye kikojoleo chako mie nna program ya kuz-flash! Sasa wewe ucjal njoo tufanye yetu eh!..hahah!
 
Last edited by a moderator:
kiwatengu! Mie ndo nshatia timu,sikia kuhusu hzo codes mkeo alizokuwekea kwenye kikojoleo chako mie nna program ya kuz-flash! Sasa wewe ucjal njoo tufanye yetu eh!..hahah!

Mchukue tu maana nshajichokea ukimaliza niletee vinavyobaki.
 
Ina maana gani hii Excel?
Kwamba sisi ndio wataalamu wa limbwata ama?
Sisi tunawaweka kwenye chupa hawafurukuti. Anyone anayetaka kuwekwa kwenye chupa?

We mwache acheze na sie km nae hajajikuta kwenye himaya yetu
 
Umeona mchezo eti kumwambia nampenda ikawa tabu akataka kunipa lifti gari yenyewe tinted from There amekua akinilazimisha nipande ila nimekataa

Mrembo mbona hivyo?
Mbona maneno makali yasiyokuwa hata na chembe ya huruma kwa binadanu mwenzako?

Nimekosa nini mie kwa kukuambia nakuhusudu?

Kwani nimekulazimisha wapi mrembo?
Nilikuwa nakuomba nikupe lifti hukukubali

Sasa hayo mengine yanayoumiza kama ncha ya chuma cha moto kwenye kidonda kibichi yanatoka wapi?

Mi nilikua naomba tu na wala sijafikiria kukulazimisha
Umekubali mrembo?
 
Mrembo mbona hivyo?
Mbona maneno makali yasiyokuwa hata na chembe ya huruma kwa binadanu mwenzako?

Nimekosa nini mie kwa kukuambia nakuhusudu?

Kwani nimekulazimisha wapi mrembo?
Nilikuwa nakuomba nikupe lifti hukukubali

Sasa hayo mengine yanayoumiza kama ncha ya chuma cha moto kwenye kidonda kibichi yanatoka wapi?

Mi nilikua naomba tu na wala sijafikiria kukulazimisha
Umekubali mrembo?

Aku mie sitaki
 
Back
Top Bottom