Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
poa poa, naona wife wangu hapa leo hanyanyuki.
na huyu ndiyo anadipu dipu kila saaa
nah bifuu meeen! Ahsante kwa mwaliko ila jaman Excel kuwad wangu plz naomba unitaftie mwanaume mwngne hch kibabu,i mean kiwatengu atakuja nifia siku moja kifuan, frm today onwards nimemwachia mkewe shansarie aendlee naye! Maana mwanamke mvumilivu huyu!khaa
hupenda na moyo
yaah...roho inauwezo wa kugeuka maasai
Mkuu kiwatengu pole na majukumu!Shem wangu shansarie hajambo?Mkuu napenda kutangaza kuwa mimi sungura1980 pamoja na malkia Bantu lady ni mume na mke!Hivyo nakuomba uedit huu uzi na kuniondoa kwenye kundi la singles!Asante sana!
Mkuu kiwatengu pole na majukumu!Shem wangu shansarie hajambo?Mkuu napenda kutangaza kuwa mimi sungura1980 pamoja na malkia Bantu lady ni mume na mke!Hivyo nakuomba uedit huu uzi na kuniondoa kwenye kundi la singles!Asante sana!
nko hapa!uko wapi wewe?πhoto:πhoto: sikuoni..
Rafiki, je bado una uhakika yangu ipo? hahahahaha. Chagua moja.habari za siku nyingi? basi tuwe marafiki wa kawaida..
no mgegedano:smile-big:
yap yap! Mie nko poa! Deal!...no mgegedano,we friends haha Excel eh njo thbtisha bashabari za siku nyingi? basi tuwe marafiki wa kawaida..
no mgegedano:smile-big: