Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,681
- 8,736
Eeeh!!ila nilimwiba mara moja akanasa sasa kipindi hiki hayupo nataka tujifiche mimi na wewe
mhhhhhhh tujifiche tena??????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeeh!!ila nilimwiba mara moja akanasa sasa kipindi hiki hayupo nataka tujifiche mimi na wewe
mhhhhhhh tujifiche tena??????
Si unajuwa we mtoto ni mzuri unaitaji mtu wa kukupetipeti upate na masaji ya ukweli wewe ukikubali tu mi naanza kazi
hahahahahaha una maneno matamu lakini umechelewa kidogo sana
Nimechelewa je tena?kwani kuna mtu anashindania na mimi huyo hana uwezo wa kumiliki kifaa cha rangi ya mtume kama wewe njoo kwangu baby unaenea kila sehemu!
Aaah!ukinikubali pete unatupa hiyo kuenea chini namaanisha mpini saizi ya kati juu kifua sio baunsa kazini cherehani ya kigosi aaggrrrh niambie aliyeniwahi nikamtengeneze kwa babuhahahahahahaha naenea kila sehemu zipi???? usinitie majaribuni king wangu ni mtata mnooooo afu ujue nimevishwa pete juzi juzi tu
Aaah!ukinikubali pete unatupa hiyo kuenea chini namaanisha mpini saizi ya kati juu kifua sio baunsa kazini cherehani ya kigosi aaggrrrh niambie aliyeniwahi nikamtengeneze kwa babu
umechelewa afu huo mpini sio saizi yangu
mhhhhh hizo sifa zingine hatuendani bwana
afu ujue huwezi ukampiku huyu king wangu yeye hatumii mauchawi ya kwa babu
yeye viungo vyake ni uchawi tosha sijui kama utaweza kuninasua kwake
Kwenye kutafuna huwa mimi ni fundi wa kuzaliwa ila uchawi naotumia mimi sio kwenye game nikuakikisha jamaa anakaambali na wewe mpini najuwa umeshaupenda ila umeuonea aibu!!
Utauzoea usiogope njoo kwa upande huu naona milingoti upo juu japo ucheze nao tu!!
excel ukuje huku fasta miss neddy anachepukwa na kibo 10!..Si unajuwa we mtoto ni mzuri unaitaji mtu wa kukupetipeti upate na masaji ya ukweli wewe ukikubali tu mi naanza kazi
hahahahahahaha rudi nyuma rudi nyumaaaaa shetani rudi nyumaaaaa ngoja nimwite mwenye mali ujipime ubavu nae
Excel kam zis wei
excel ukuje huku fasta miss neddy anachepukwa na kibo 10!..
weeh jikeshe tu unatongozwa akat una limume lako excel,ngoja aje kama hajapata presha mpaka kofia ya u-king idondoke!..
charty acha umbea mtoto miss neddy kesha lowa nimempa tiba toka juzi mpaka kapitiwa usingizi au na wewe umemwonea wivu pichu imekuvuka?niambia kama ndivyo najuwa cha kufanya dr wa magonjwa ya kulegea macho na viungo nipo hapa ila wivu punguza sema tu shida yakoexcel ukuje huku fasta miss neddy anachepukwa na kibo 10!..
charty acha umbea mtoto miss neddy kesha lowa nimempa tiba toka juzi mpaka kapitiwa usingizi au na wewe umemwonea wivu pichu imekuvuka?niambia kama ndivyo najuwa cha kufanya dr wa magonjwa ya kulegea macho na viungo nipo hapa ila wivu punguza sema tu shida yako
weeeh subri dawa yako!!!!jishaue tu, hutulii na ndoa yako kazi kuchepuka!hahahahahahahah mbona unapenda kumtajataja my king
umuawache apumue