Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima


afu wewe utaniharibia njia kuu yangu bwana
kama vp sema na charty
 
Last edited by a moderator:
afu wewe utaniharibia njia kuu yangu bwana
kama vp sema na charty

Mimi ninataka kukupa raha tu!ila charty anaona wivu mshushue akuache sasa na haka kamvua nimekumbuka ulivyonipa jana mpini tayari juu!leo ukija getto nitakupa kazi ya maana hali ya hewA inaruhusu
 
Last edited by a moderator:
charty changamkia fursa hiyoooo

akhaaa mi stakii hawa wakina mushii hawakawii kuni-ufosaro mie namtaka Excel nipe tu hata wiki moja nimtumie na mie mweh!afu sitakusemea ww miss neddy kuwa jana ulichepuka na so called kibo10:rolleyez:
 
akhaaa mi stakii hawa wakina mushii hawakawii kuni-ufosaro mie namtaka Excel nipe tu hata wiki moja nimtumie na mie mweh!afu sitakusemea ww miss neddy kuwa jana ulichepuka na so called kibo10:rolleyez:

hahahahaha unapenda vya wizi tu eeeh
kwanza mimi na huyo kibo hatukuchepuka kabisaaa
nenda kwa kiwatengu ukapate huduma lakini Excel ndo roho yangu hiyo niachie pls ustake kunirestisha in peace kabla ya muda
 
Last edited by a moderator:
hahahahaha unapenda vya wizi tu eeeh
kwanza mimi na huyo kibo hatukuchepuka kabisaaa
nenda kwa kiwatengu ukapate huduma lakini Excel ndo roho yangu hiyo niachie pls ustake kunirestisha in peace kabla ya muda
loooooolest miss neddy kizuri kula na mwenzio jamani hee!si unaona shanisarie aliniachia nkamla kiwatengu akavumilia nilivyomaliza nkamrudisha huhuhuuuu:rolleyez:
 
loooooolest miss neddy kizuri kula na mwenzio jamani hee!si unaona shanisarie aliniachia nkamla kiwatengu akavumilia nilivyomaliza nkamrudisha huhuhuuuu:rolleyez:

akuuuuu shansarie ana moyo wa chuma huyo
mi sitaweza kabisaaaaaaaa
yani umle uniletee makapi
 
Last edited by a moderator:
Mimi ninataka kukupa raha tu!ila charty anaona wivu mshushue akuache sasa na haka kamvua nimekumbuka ulivyonipa jana mpini tayari juu!leo ukija getto nitakupa kazi ya maana hali ya hewA inaruhusu

ahaaa!! kijana, naona umepata pa kutolea shida zako eenh!

mmependana sana toka jana... Kibo10... charty.. na miss neddy..

i thought i had friends... even my gf is aargh!
 
Last edited by a moderator:
shenz type kabisa... mi kutoka kidogo tu mmeanza kuchombezana???

enhee! niambieni mlikofikia?... mlipojificha, mlifanya nini?

qudadeki..... i dont feel this anymore!

Excel jamani hata alikotokea mimi sijui wallah khaaaaa
 
Last edited by a moderator:
mhhhhhhh tujifiche tena??????

hahahahahaha una maneno matamu lakini umechelewa kidogo sana

Si unajuwa we mtoto ni mzuri unaitaji mtu wa kukupetipeti upate na masaji ya ukweli wewe ukikubali tu mi naanza kazi

Nimechelewa je tena?kwani kuna mtu anashindania na mimi huyo hana uwezo wa kumiliki kifaa cha rangi ya mtume kama wewe njoo kwangu baby unaenea kila sehemu!

hahahahahahaha naenea kila sehemu zipi???? usinitie majaribuni king wangu ni mtata mnooooo afu ujue nimevishwa pete juzi juzi tu


whaaaat??? all these?? ...............

what should i do you now?

siku 2 tu kutoonekana aisee? Kibo10 vs miss neddy... you guys.. i even saw charty in,

iam going to the church to pray.. i dont feel like shedding blood.. go ahead..
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…