ah richpol!!:rolleyez::rolleyez:
Haah! Haah! Sukari ya ma miss karibu sana.
Usihofu nitakupashia, umekumbuka kuja na zawadi yangu?
mkeo kalala??nataka nikuchombezeee ki-miss miss
:busu
Etiiiiiii!!!!!!????
Karibu sana ila angalia nisije nikakuchanganya ukatoka njia kuu?!!. Na usirudi tena.
aliyekwambia nanii mie ni wa njia kuu nanii?ebu punguza puresha haibiii!ila mie ndo naiba ndo maana nkakuuliza mkeo yuko macho? afu siyo utanichanganya! hapa tutachanganyana! sawa eh!ok nipe uhakika wa usalama wangu maana naogopa kumwagiwa tindikali heheee:love:
Nimetoroka ujue
Mwenzangu mchumba wangu Honey Faith amekuja, sasa sijui itakuwa na nampenda kweli sitaki kumuudhi.
hahahaha baki njia kuuu ucje ukanyimwa mchezo na hii hali ya hewaaa
Najua umetoroka, sasa ondoa hofu basi! Au unaniogopa?!.
Aku sikuogopi miye
Basi sogea kwangu basi! Muda wenyewe hautoshi! Naomba uzime na simu yako.
Poa niko hapa nisogee wapi tena
Ok vizuri! Mbona hutaki kulitoa hili koti la mvua? naomba nikupunguze nguo basi zimelowa na mvua.
Asantee ua so kind