uchawi upi??Nakutafutia mchumba mwenye uchawi wenu kwa wingi.
uchawi upi??
acha zako wewe rich paul!..
Ohoo am married i cant stay with uMe too! I don't know what to say! Uko flexible sana! Where have u been??! Take my everything and stay with me.
Mwambie aweke cv mezani labda atanipa mfadhaiko
hahaha yoh rght meeen!Pesa aka Dollar! + usafiri wa maana.
Ohoo am married i cant stay with u
Ngoja niende asije amka akanikosa
oh ckulijua kua mie mdhur sana!Sorry! Sitoi sifa zako nje tena! Ila si unajua wewe mzuri sana? Au hujui hilo??!.
oh ckulijua kua mie mdhur sana!
Mimi mwenyewe nikikuona mate yanajaa mdomoni. Moyo unaniuma basi tu.
hahahah..richpaul ucjenigombanisha na mkeo!weka mbal na watoto.
Pole sana, mbona unashika kichwa kinauma? Au bado unauchovu?!.
Niko hoi embu nipeleke mwenzio
Pole sana s.....! twende nikurudishe asije akaamka akute haupo ikawa kesi. Let's go s.....! I real enjoyed. Thnx a lot.
Usisifie sana basi utampa presure mwenzio