Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Nashangaa eti kwanini usingiziwe?
Kitu gani na nani kakutumia kama si anataka kuvunja ndoa yangu
hahaha shansarie dia pambana my dia wacje kukuvunjia ndoa yako na kizee chako kiwatengu!..
ishavunjika hii, kiwatengu akiendelea na huyu atakuwa ( bushoke song)
Hahahhaaaa jirani ndoa umeanza kuivunja wewe, siye tunasaidia tu kuweka matofali pembeni hahaaaaa
lol uran!acha kuchomelea msumar wa moto!kiwatengu msamehe mkeo maana hata yeye alikua anakuvumilia sana ulivyokua unamsalit!
Mume wako atakwambia, pole kwa uchovu luv. Umeweza kuamka kweli leo?
Nilikunywa wine nyingi but niko salama
Hahaha unajua nilianzia wapi na kiwatengu yatakushinda aachwi mtu
shanisarie karbu eh:coffee: upunguze hasira kidogooo!
Hahaha unajua nilianzia wapi na kiwatengu yatakushinda aachwi mtu
shanisarie karbu eh:coffee: upunguze hasira kidogooo!
ndoa njema..! lol! upogo?
ndoa njema..! lol! upogo?
npogo! sikuhizi stakiii waume za watu haha nimetulia mungu aniletee mume mweema!:eyeroll1:
npogo! sikuhizi stakiii waume za watu haha nimetulia mungu aniletee mume mweema!:eyeroll1:
kwani hao wanaume za watu si ndo wanaooa? au unadhani nia wanaume wa wapi?
heeee jaman excel umeamka na mimi eh? kwani mie nimefanyajee mpaka nivunjweee!?
kwani hao wanaume za watu si ndo wanaooa? au unadhani nia wanaume wa wapi?
mie siolew na mume wa mtu! kwan wanaume wameisha nataka single boy!!kwann nishare akat wamejazana humu lmfao!
i mean umeamka na maneno na mieee! ebu rudi kwanza kwa mkeo ukamwachie ela ya matumizi eh!mimi nimeamka na wewe!? kweli? aisee futa hii kauli!! nimeamka na wewe? kivipi?