Muache aje, sime yangu sijaitumia muda mrefu.
Waja kufanyaje yakhee?
Khaah! Mbona unaniuliza hivyo wakati unajua nakupenda??!.
Yaani hata wewe? Nakuja nyumbani jioni.
umevunja ndoa ya kiwatengu na shansarie unataka kuhamia kwangu.
nitakumalizaaaaa.
we utakuwa ni #teamuzinzi
njooo nikukate hiko kikojoleo
Mkuu mchana nimekusalimia ukanichunia, baada ya kuona nakuja kwako ndiyo umejitokeza?!.
umevunja ndoa ya kiwatengu na shansarie unataka kuhamia kwangu.
nitakumalizaaaaa.
we utakuwa ni #teamuzinzi
Wewe nae hebu tulia kwako upange maisha yako sio kila saa upo njiani kwenda kwenye nyumba za watu
Honey nakutafuta toka mchana ulikuwa wapi?
Nilikuwa hapa hapa
Mungu sijakuona! Njoo basi tupange mambo ya ndoa yetu.
Ndoa yangu haijavunjika yakhe
Mkuu mchana nimekusalimia ukanichunia, baada ya kuona nakuja kwako ndiyo umejitokeza?!.
Mkuu hawa ni shemeji zangu tu napenda Kuwa challenge! Salama lakini?
tungoje mumeo aone ulivyozini., kama hata kisepesha
Keep quite
:shut-mouth::shut-mouth::rolleyez: