sungura1980
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 1,909
- 1,213
Bantu lady njoo huku nimekumisi
Hahahaaaa,mbona wewe Kibo10 mwoga,tumekusubiri hata hujatokea!Chezea muke ya mutu wewe!Ujanja wako wa kizamani wa kukimbilia PM,kwa taarifa yako nina ufunguo wa kila sehemu
Hahahaaaa,mbona wewe Kibo10 mwoga,tumekusubiri hata hujatokea!Chezea muke ya mutu wewe!Ujanja wako wa kizamani wa kukimbilia PM,kwa taarifa yako nina ufunguo wa kila sehemu
Mkuu salama? Naona unatetea ndoa yako! Wajibika mkuu vijana wana njaa sana!
Pole sana.
Bantu lady njoo huku nimekumisi
Mwoga nani hapo mimi au wewe unatembea na simu ya wife mfukoni ngoja aende kwenye semina tuone kama utaacha kwenda kazini uongozane naye jiamini kijana teh teh..
huyu kwani hajaolewa?
Hahaaaa,wewe unaongelea semina!Hata bafuni tunaenda wote!Mkuu mi nimejiajili kwa hiyo semina zote za bibie huwa tunaongozana!
Huwaga anachepukaga mkuu
Juzi mbona nimempa kichapo cha haja kimya kimya
miss chagga unatafutwa hukukumbe ni mienendo ya michepuko.
kuna mtu anaitwa miss chagga, ni mwanamke ninayempenda sana.
tena nampenda kupita maelezo.
ukimwona naomba umwambie.
miss chagga unatafutwa huku
Salama mkuu,Duhhh mkuu Rich Pol kuna kijana nilimsubiri toka juzi nimfanye chakula ya dog hata hajatokea,vijana hawa siku hizi wana hirizi sijui!!
Hajambo bibie Honey Faith?
whaat!!! jambia tena?
miss chagga njoo kwa huku tafadhari,kuna mtu kila akinywa maji anakuona kwenye glass!kumbe ni mienendo ya michepuko.
kuna mtu anaitwa miss chagga, ni mwanamke ninayempenda sana.
tena nampenda kupita maelezo.
ukimwona naomba umwambie.
Tembosa,kaolewa huyo,hata sasa bado tuko kitandani,,sema kuna vijana wanawatafutia watu wengine kesi za mauaji kwa nguvu sana!Sijui anataka kujiua?Sasa ameogopa kitanzi na sumu kaona bora afe kwa kifo kingine!huyu kwani hajaolewa?
miss chagga njoo kwa huku tafadhari,kuna mtu kila akinywa maji anakuona kwenye glass!
Tembosa sema babayake huyo binti ni mkali,anaitwa utafiti!Ukitaka kupeleka barua niambie nikusindikize!Kama unataka kuharibu walaa husinishirikishe!
miss chagga unatafutwa huku
nimekuja mpenzi wangu Tembosa niambie neno lolote moyo wangu ufurahi...kumbe ni mienendo ya michepuko.
kuna mtu anaitwa miss chagga, ni mwanamke ninayempenda sana.
tena nampenda kupita maelezo.
ukimwona naomba umwambie.
nimekuja mkuu nani tena huyo