Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,860
Si unanipenda sana? basi jibu mbona jambo dogo sana hili. kama unaogopa niambie kule kwa siri.
Hapana sio mchaga wa sijuwi bastola ina rangi gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si unanipenda sana? basi jibu mbona jambo dogo sana hili. kama unaogopa niambie kule kwa siri.
Naomba nikuulize Buntu lady kwani wewe ni mtundu sana
Kwa yale mambo ni mtundu sana kupindukia.
Usijali wewe niachie sungura1980 mimi nitammudu vema tu jiandae tu kisaikolojia maana nikija leo wallah unahamia mazima full fundi na nitajitahidi leoleo nikakununulie gari ya kutembelea naona jamaa kakutesa mda mrefu sana na wewe unathamani ya jet kabisa
Karibu sana bwana mkubwa Kibo10,tutakuwepo tu tunakusubiri!Maneno maneno mengi sana kama akina .......mi hata sina,ni vitendo tu
Acha hizo we sungura1980 mtoto mbona nilishagonga zamani tu wewe unakuwa mkali leo
Karibu sana bwana mkubwa Kibo10,tutakuwepo tu tunakusubiri!Maneno maneno mengi sana kama akina .......mi hata sina,ni vitendo tu
Mmmh huko uendako unaniharibia ndoa yangu sasa, mwambie ukweli bhana hatujawahi kukutana kabisa.
Kama ukianza kumuongopea mume wangu nami sikutaki.
Nimempima mbavu nimegungua hana tulia kwa tajiri wa nchi watoto waende shule za ST ..,,,baby
Huyu mwanaume ndio roho yangu, ukimuumiza kwa aina yoyote unakuwa umeniumiza mimi pia. Uwe makini na hili sawa?
Nitakusikiliza maana mimi ndio nakualika kucheza ugenini ila we mtamu asikuambie mtu una ngozi ya mtume we mtoto
Kama hivyo hapa umefika, ukinisikiliza mimi hupotei.
Mambo vipi mumie!upo!!nimekumic?
Powa tu luv, hunishindi mimi ninekumiss sana na nimekutafuta sana.
Ok nimeishakuja kipenzi niambie!
Wewe ushamaliza kazi mimi tu ndio natakiwa nisicheze rafu ili usiumie na mimi nipo tayariKama hivyo hapa umefika, ukinisikiliza mimi hupotei.