Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Mzima aisee jana nimegonga mlango mpaka nimechoka hukufungua mpaka asubuhi ndio unanifungulia kuna usalama kweli Bantu lady

Hahahaaaa pole sana Kibo10, mlinzi naona naye alilala. Itakuwa ulikuja kwa miguu. Ungepiga honi angeshtuka tu, jana nilichelewa sana kurudi home naona tulipishana tu.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaa pole sana Kibo10, mlinzi naona naye alilala. Itakuwa ulikuja kwa miguu. Ungepiga honi angeshtuka tu, jana nilichelewa sana kurudi home naona tulipishana tu.

Sijawahi kupanda daladala nilikuja na gari,sasa leo nitakuja usilale mapema na honi nitapiga niandalie tu juice ya nanasi nataka nije nikusahaulishe baadhi ya vitu na uwezo ninao pia nia ndio kabisa
 
Sijawahi kupanda daladala nilikuja na gari,sasa leo nitakuja usilale mapema na honi nitapiga niandalie tu juice ya nanasi nataka nije nikusahaulishe baadhi ya vitu na uwezo ninao pia nia ndio kabisa

Sawa leo nitakusubiri kigiza kikiingia. Ila kuwa makini na Kiwatengu atamwambiamume wangu.
Pia uje taratibu mume wangu sungura1980 asikusikie patachimbika hapa bila jembe.
 
Sijawahi kupanda daladala nilikuja na gari,sasa leo nitakuja usilale mapema na honi nitapiga niandalie tu juice ya nanasi nataka nije nikusahaulishe baadhi ya vitu na uwezo ninao pia nia ndio kabisa

Sawa leo nitakusubiri kigiza kikiingia. Ila kuwa makini na Kiwatengu atamwambiamume wangu.
Pia uje taratibu mume wangu sungura1980 asikusikie patachimbika hapa bila jembe.
Kibo10,hata sijasikia,ukiwa unakuja pitia pale Muhimbili au Manzese kuna sehemu wanauza majeneza,angalia linalokutosha na zuri kwako,njoo nalo!Utamkuta tu Bantu lady wala husiogope!Husisau kuandika wosia!
 
Last edited by a moderator:
Sawa leo nitakusubiri kigiza kikiingia. Ila kuwa makini na Kiwatengu atamwambiamume wangu.
Pia uje taratibu mume wangu sungura1980 asikusikie patachimbika hapa bila jembe.

Baby mimi kwa uzuri wako na utulivu wako hata kiwatengu angekuwa na ak47 acha tuuwane tu tena jioni nikija najuwa utakuwa umechoka na kazi za kutwa nitakufanyia body massage usijali wewe akienda tu kijuweni nistue fasta nakuja mamy
 
Last edited by a moderator:
Baby mimi kwa uzuri wako na utulivu wako hata kiwatengu angekuwa na ak47 acha tuuwane tu tena jioni nikija najuwa utakuwa umechoka na kazi za kutwa nitakufanyia body massage usijali wewe akienda tu kijuweni nistue fasta nakuja mamy

Karibu sana Kibo10!
 
Last edited by a moderator:
Baby mimi kwa uzuri wako na utulivu wako hata kiwatengu angekuwa na ak47 acha tuuwane tu tena jioni nikija najuwa utakuwa umechoka na kazi za kutwa nitakufanyia body massage usijali wewe akienda tu kijuweni nistue fasta nakuja mamy

Kiwatengu ni shemeji yangu, mimi mume wangu anaitwa Sungura1980. Kishakusikia sasa mambo yatakuwa magumu atawahi home kurudi leo, si umeona mkwara aliokupa? Hatanii ameshapata kibali cha mguu wa kuku asije kukumaliza bure.
 
Last edited by a moderator:
Baby mimi kwa uzuri wako na utulivu wako hata kiwatengu angekuwa na ak47 acha tuuwane tu tena jioni nikija najuwa utakuwa umechoka na kazi za kutwa nitakufanyia body massage usijali wewe akienda tu kijuweni nistue fasta nakuja mamy

Mimi tena?
 
Last edited by a moderator:
Kiwatengu ni shemeji yangu, mimi mume wangu anaitwa Sungura1980. Kishakusikia sasa mambo yatakuwa magumu atawahi home kurudi leo, si umeona mkwara aliokupa? Hatanii ameshapata kibali cha mguu wa kuku asije kukuua bure.

Usijali wewe niachie sungura1980 mimi nitammudu vema tu jiandae tu kisaikolojia maana nikija leo wallah unahamia mazima full fundi na nitajitahidi leoleo nikakununulie gari ya kutembelea naona jamaa kakutesa mda mrefu sana na wewe unathamani ya jet kabisa
 
Last edited by a moderator:
Usijali wewe niachie sungura1980 mimi nitammudu vema tu jiandae tu kisaikolojia maana nikija leo wallah unahamia mazima full fundi na nitajitahidi leoleo nikakununulie gari ya kutembelea naona jamaa kakutesa mda mrefu sana na wewe unathamani ya jet kabisa

Hahahahaaa uaniweka njia panda mwenzako, nampenda huyu mwanaume sungura 1980. Ananijali sana, ananipenda na ananivumilia kwa mengi sana. Pia katulia hajawahi nicheat, nifanyeje sasa?
 
Last edited by a moderator:
Siyo kila mtu ni wakukaribisha ati..

Unafikiri anamkaribisha kwa wema basi shemu? mmmh sungura ana roho kama ya wajerumani, namuonea huruma sana Kibo10 kujiingiza hapa kwenye matatizo. Mtamsahau kabisa.
 
Hahahahaaa uaniweka njia panda mwenzako, nampenda huyu mwanaume sungura 1980. Ananijali sana, ananipenda na ananivumilia kwa mengi sana. Pia katulia hajawahi nicheat, nifanyeje sasa?

Wewe nisikilize mimi hutojilaumu kuanzia kazi nitakupa ya ukweli na tabia za sungura1980 nitarithi zote na kuongezea za kwangu hapo nitkuwa nimemaliza na kama pesa hapa zipo damu ipo safi pia aaah mpaka raha mamy
 
Last edited by a moderator:
Wewe nisikilize mimi hutojilaumu kuanzia kazi nitakupa ya ukweli na tabia za sungura1980 nitarithi zote na kuongezea za kwangu hapo nitkuwa nimemaliza na kama pesa hapa zipo damu ipo safi pia aaah mpaka raha mamy

Sasa mmmmh duh, halafu wewe mchaga eeeh?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom