Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,479
- 9,540
Tatizo wana ndoa wenyewe hawako serious, ukiwauliza kuwa "ni confirm" utaskia hhooooo... bila michepuko siwezi.. aaaaahh kalikwenda kakarudi, yaani taabu tupu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lolest miss neddy kumbe nilikua nawapa pureshaaa jaman ww na shanisarie,,hahaha am top of the mountain, cha mtu sitamani nko na mahabuba, the one and only,my lovely hubby Jipu,,,nisameheni kwa kuwachombeza waume zenu,kiwatengu na Excel #okbyee !!!:wink2::A S 103:dahhhhh afazali apendwe maana nilikuwa silali kwa ajiri yake khaaaaa kanapenda kudokoa vya watu aiseeeee
nipo nipo hebu wekeni habari vizuri, nifanye yangu..
lolest miss neddy kumbe nilikua nawapa pureshaaa jaman ww na shanisarie,,hahaha am top of the mountain, cha mtu sitamani nko na mahabuba, the one and only,my lovely hubby Jipu,,,nisameheni kwa kuwachombeza waume zenu,kiwatengu na Excel #okbyee !!!:wink2::A S 103:
hahahaha na wewe lazima tukutafutie wa kumchombeza jipu
hahahaha na wewe lazima tukutafutie wa kumchombeza jipu
Asubuhi yote hii umekuja kulinda ndoa yako duh hii hatareeee!!!
hahahahaha we honeyfaith wewe
mpaka uapologize...
Tatizo wana ndoa wenyewe hawako serious, ukiwauliza kuwa "ni confirm" utaskia hhooooo... bila michepuko siwezi.. aaaaahh kalikwenda kakarudi, yaani taabu tupu.
ur time of been single is going to an end..
get prepared to be in relationship.
usiogope i will teach the Boy how to Love and taking Good care of you.
kile kitendo cha kuongea lugha ya mahaba na shemeji yako tu, nikosa..
Ok!! jiandae sasa kuwa na mke wa kwako. tena wako peke yako.
haya maswala ya shemeji shemeji yakuepuke..