Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Juzi mbona nimempa kichapo cha haja kimya kimya

Kibo10 nilikwambiaje? kwanini hutaki kumheshimu mume wangu. Maana hata mimi mwenyewe huniheshimu, nini hii sasa?
Dawa yako iko jikoni inachemka.
 
Tembosa,kaolewa huyo,hata sasa bado tuko kitandani,,sema kuna vijana wanawatafutia watu wengine kesi za mauaji kwa nguvu sana!Sijui anataka kujiua?Sasa ameogopa kitanzi na sumu kaona bora afe kwa kifo kingine!

Honey wala asikusumbue huyu, si unajua kiasi gani nachokupenda na sijawahi kukusaliti. Anakwambia maneno na kuyachochea ili uniache tu na anaonekana ni bazazi, kuna mtu kanidokeza kapita kwingi tena kwa watu wenye ndoa zao.
Mimi nakupenda sana.
 
Last edited by a moderator:
Ndio, halafu unacheka kama ulichofanya ni kizuri.
Halafu nimedokezwa eti wewe ni bazazi hasa.

Tuheshimiane Bantu lady ubazazi wangu nini au kunamtu anataka kutuvuruga nitafute kule uniambie vizuri
 
Last edited by a moderator:
Tuheshimiane Bantu lady ubazazi wangu nini au kunamtu anataka kutuvuruga nitafute kule uniambie vizuri

Hahahaaa kumbe wewe unaogopa kuchafuliwa? why unanichafua mimi kuwa huwa nachepuka na mume wangu anaona live. Sema ni mume anayenipenda sana, angekuwa mwanaume wa kupita angeshaniacha siku nyingi.
 
Last edited by a moderator:
Mie mzima shem wangu sijui wewe!

Hatujambo bibie Honey Faith,jamani muonee huruma Rich Pol,karibu ataanza kuokota makopo kwa ajili ya penzi lako.Anakupenda kweli kila siku,kila saa kila dakika haachi kukutaja!Mpe nafasi ndani ya mtima wako tafadhari!Hata dada yako Bantu lady,amekuomba umpe nafasi huyo Rich Pol jamani!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…