Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwangalie hapo juu jana alikuwa anasumbua kweli nikamwambia mali hii utajisumbua nilishaa kaa siku nyingi mtafute umwone ana nini kipya
Juzi mbona nimempa kichapo cha haja kimya kimya
Kibo10 nilikwambiaje? kwanini hutaki kumheshimu mume wangu. Maana hata mimi mwenyewe huniheshimu, nini hii sasa?
Dawa yako iko jikoni inachemka.
Tembosa,kaolewa huyo,hata sasa bado tuko kitandani,,sema kuna vijana wanawatafutia watu wengine kesi za mauaji kwa nguvu sana!Sijui anataka kujiua?Sasa ameogopa kitanzi na sumu kaona bora afe kwa kifo kingine!
Hahaha sasa ndio umenuna?
Ndio, halafu unacheka kama ulichofanya ni kizuri.
Halafu nimedokezwa eti wewe ni bazazi hasa.
Tuheshimiane Bantu lady ubazazi wangu nini au kunamtu anataka kutuvuruga nitafute kule uniambie vizuri
Salama mkuu,Duhhh mkuu Rich Pol kuna kijana nilimsubiri toka juzi nimfanye chakula ya dog hata hajatokea,vijana hawa siku hizi wana hirizi sijui!!
Hajambo bibie Honey Faith?
vocal zilimshinda mtu mzima chezea mambo ya diha.
Mie mzima shem wangu sijui wewe!
Hujambo bibie?
Mie mzima sijui wewe?
Mie mzima shem wangu sijui wewe!
Mie mzima sijui wewe?
Khofu kwako! Njoo unione naumwa mwenzio.