niume na mimi tafadhali
We muke ya mutu pitia nyumbani unisalimia siku nyingi sana hatujajuliana hali, usihofu (Nina maziwa home) msalimie Jerry.
unakupa nini huyo nikupe zaidi na zaidi kuliko
dah,,huku cjawah kutembelea kabisa,,kumbe uku ndo wachumba wanapatikana,,em nambieni munapatanaje na sura hazionekani ss,,au ndo unaotea id tu,km imekaa ki ke ke unamwaga yaliomo,,na mi nipatieni nakala yangu bas
We jinsia gani ? Kama Ke njoo pm haraka kabla babu Asprin ajaja make huyo mzee busara kweli kweli kutwa tunaweweseka kila mwanamke hapa JF babu kakagua lol.
KM WE ME ENDELEA KUWINDA ILA NAKUSHAURI UENDE KULE JUKWAA LA UTAMBULISHO UONGEE VIZURI NA watu8 na Katavi wakupe mgeni yoyote uanze mambo. Aha aha just kidding .
Ahah mi Me babu,,uyo watu8 na mwenzie hao wagen anawajua kwa sura au? Iv huku jf wa2 wanapata mademu kwel?
Ahah mi Me babu,,uyo watu8 na mwenzie hao wagen anawajua kwa sura au? Iv huku jf wa2 wanapata mademu kwel?
paroko siku hizi unanikuta kwenye maeneo na mazingira yasiyo condusive kabisa
wacha nirudi parokiani s..na wewe unapotea mnoo