Mmmhh ntakupigia badae nikwambie
Sie wengine tumezoea kula kwa macho! Manake chaguo langu haliendani na hali yangu, hebu tuambiane ukweli demu mzuri kama lara1 nitamuanzia wapi! Na nikimuanza nitammaliza au atanimaliza
inakuwaje mkuu mambo yanaendaje hapa?
Salama mkuu! Umenidanganya sana kama kifaranga cha kuku, kila siku kinaambiwa na mama yake utanyonya kesho.
kwani hujapata ujumbe wowote toka kwa Honey Faith?