Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
nimeona but atakupaje zawadi bila kushauriana na mimi mke wake
I am Here With You My Queen!hahahahahahaha hakuna mwanaume asiechepuka
mfuga maradhi haponi we haya
Excel ndo namtafuta sijui kafichwa wapi
mhhhhhhhhhhh mimi mke wa mfalme Excel
I am Here With You My Queen!
I Love You So Much My heart protector...!
without you----....------/\Ii...........!!
my queen... miss neddy!
and they should know that...
i am yours sweetheart..!
Haya sasa my wii Miss neddy unaona jonsi gani kaka yangu, kafa kaoza kwako.
Anakupenda sana.
hahaha dadiii na urefuu huu si ndo ntazidi kwenda hewani
itakuwa vyema sana!
manake mi mwenyewe ni level ya hasheem thabeet!
hebu pigilia na hili libuti kwanza...!
ruka kwanja mpaka kukuche!
hahahahah nahisi tutageuka kivutio wote tuko hewani
so unataka hivi vyenye soli ndogo ama?
hapa napo sijui utateguka?? lols!
kikikushinda, beba hiki mama!
namba moja hapana kwakweli namba mbili ndo chagua sahihi
Excel my king tulale sasa usiku umekuwa mwingi mnooooo
waoooowusiku mwema kipenzi cha roho yangu.... I am Dreaming of you
sleep tight my queen...
They may say, i am crazy in love... but let me love you honey!
goodnight honey!
sleep tight!
uzi kama huu watu kama mimi yatupasa kubaki watizamaji tu
kama naomba nitangaze nia kwako
unatangaza nia kwani uliambiwa huyu ni jimbo la uchaguzi? hapa ni mtongozano mkuu.
isitoshe huyu dada anajiita mtawa