hebu angalia sasa, i like jinsi unavyoongea,
nakupenda unavyotembea.
nakupenda unavyoanza kunikubalia.
say a word dear.
Najiuliza kapatwa na pepo gani uyu mwanaume
Mwanaume wa maisha yangu, nakupenda sana. Unanifanya nicheke kila siku, tabasamu haliishi usoni mwangu kwaajili yako.
Wewe ni zaidi ya mwanaume kwangu, sina neno tofauti la kukwambia uelewe.
Wewe pekee ndio mkweli, mwenye mapenzi ya dhati. Naenjoy zaidi ya unavyojua, NAKUPENDA SANA.
sungura1980
Najiuliza kapatwa na pepo gani uyu mwanaume
Bantu lady unamaneno ya busara sana.Shemeji yangu Mokoyo, mimi mzima kabisa, na mume wangu hajambo.
Hongera sana kwa kuwa na mke mrembo kiasi hiko. Bahati nzuri tunafahamiana japo si sana ila kwasasa tutakuwa karibu zaidi.
Ichana mamii nipo hapa muda wowote ukinihitaji. Mokoyo na mume wangu Sungura1980 ni ndugu kabisa, kwahiyo siai ni wake wenza kwa mdogo na mkubwa.
Nawatakia ndoa yenye amani na upendo.
Mokoyo
Na ubaki hukohuko
Shosti umeona kitu uran alichonifanyia?
Kibo10 unasema?!!Kama sijasikia vizuri vileeLeo nakuja kukuchukuwa tukale raha au hujanimiss?
Kibo10 unasema?!!Kama sijasikia vizuri vilee
Mwanaume wa maisha yangu, nakupenda sana. Unanifanya nicheke kila siku, tabasamu haliishi usoni mwangu kwaajili yako.
Wewe ni zaidi ya mwanaume kwangu, sina neno tofauti la kukwambia uelewe.
Wewe pekee ndio mkweli, mwenye mapenzi ya dhati. Naenjoy zaidi ya unavyojua, NAKUPENDA SANA.
sungura1980
Shemeji Bantu lady hujambo wewe? Mumeo ambaye ni mdogo wangu sungura1980 hajambo?
Leo nakutambulisha rasmi kwa mke wangu mtarajiwa ICHANA, tafadhali kuwa naye karibu
Leo nakuja kukuchukuwa tukale raha au hujanimiss?
Mume yuko hapa pembeni, natokaje? naanzaje kuaga.