mwaah kwenye paji la uso
hahaha siku hizi mzee wa mia hayupo.......kaniancha mwenyewe na bustani ina ukame inahitaji mtu wa kumwagilia
usaliti
hapana .........
kwenye paji una-avoid nini,acha kuwa mtata,funguka bhana we mke wa mia nasubiri tu comment yake nitakumbuka ID yake ingawa unajifanya unakana hujui
..........Tupogo sana mkuu.....shemejio Lady doctor anakusalimu.
mwaaah kitovuni
ila???
Uwiiii Vin Diesel hebu nakuomba huku mara moja fanya fastaa
honey, siko na furaha kabisa moyo wangu umejawa na majonzi.
Naomba uwe shahidi yangu nitakapomtoa mtu roho.....
huyo aliekubanaa siku nzima mwambie shikamoo
I LOVE U SO MUCH Mwalu
kwa nini wii