Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haina janjanja ndani yake? Afu hivi unajua nakaribia Mwenge, ole wako unizengue tena.
Heaven on Earth, umetoboa siri sasa.cc Eiyer Vodacom kazi ni kwako
we njoo........ila niko Tabata aau we ulikuwa waelekea kule kwingine kule
jamani pole.......mpe pole na wii mkubwa jaman
aku babu mke wa mtu mie PM ya nin
anakuja soon
huyo aliekubanaa siku nzima mwambie shikamoo
hawez nigusa bebii, wala usipate presha, asikutishe mi nakupenda wewe tu
Nimekuja ehee! mwasemaje?
Usijali na mie mme wa mtu, tutafanya respónsibly. Tafadhali hakikisha unakuja without.
nitakuanzishia uzi kesho.....talaka inakuhusu....
tunahalalisha na ku create couple mpya
asante wii zimefika..... Ngoja nilale maana nasikia kuumwa mwili mzima plus uchovu wa safari