Haya banaa,jaribu bac tuone ukweli uko wapi. Shahidi no. 1 kiwatengu.
Kweli tena nikikupa pombe lazima ulewe
its not true.. some women are single, example a. rahabu, charty Heaven on Earth and others are less occupied.. kisu chako tu mzee
Nime mmis sana my huby jamani,uko aliko sijui amekula!
aisee nina bonge la bahati basi ngoja nimsaundishe maana mtoto anaonekana wa ukweli sanaHana mtu kaka, afu unajua.kuchagua wewe.
Siku izi kahamia kijijini, so ukimleta town afu upae nae kule kwenu atafurahi sana sana..
Haya sasa Munkari sogea karibu, Mungu amejibu Maombi yako.
Upweke wa Bush kwisha kazi yake sasa.
aisee nina bonge la bahati basi ngoja nimsaundishe maana mtoto anaonekana wa ukweli sana
its not true.. some women are single, example a. rahabu, charty Heaven on Earth and others are less occupied.. kisu chako tu mzee
hahaaaaaaaa uran ebu acha udakuu mie nshapata wangu,,ila kama isack shayo anasomeka na ana mtonyo wa ukwee aje tu,kwanii sh NGAPIIII?:smile-big:
Afu wewe mi nakutizama tu unavyoshadadia
ninamashaka na shost wangu Heaven on Earth mbona kuna m2 yuko bega kwa bega nae JLW na wanakila dalili ya kua couple ila ngoja nikachunguze