Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu salama lakini?
salama sana mkuu mambo vipi? niko poa sana
ngoja nitakuletea
asante mkuu! Nilikuwa bungeni huko natetea ktk hii rasimu japo na sisi ktk katiba mpya turuhusiwe kuoa mke zaidi ya mmoja au unasemaje mkuu?
Kila anaetaka kunipa msaada amepakiza abiria
hujamwona fisherscom?
Vunja ukimya,wengine inaruhusiwa kuwa na abiria zaidi ya mmoja...
Mamawe naogopa ukewenza raha ya gegedo ulipate mwenyewe pekeako
my sweetyheart mwaka huu lazma nikununulie Gari...
mi mgeni humu! bado nipo cngo!
hivi kumbe ni Nyani Ngabu vs Karucee... ?? mbona sikuiona hii couple!!! aaah, jmosi yangu imeharibika.
Chakula cha kugombania huwa kitamu sana asikwambie mtu banaa,hujawai jaribu bibie?!
Kumbe tuko wengi he heee
unataka huduma??.. sema usaidiwe kukuna mgongo!
nini sasa jamani
Iharibike kisa nini?
Hamna kitu hapo.
kakokicheko hako, sasa ndo mchezo gani huo bana?Ha haaa akuuu napita tuuu