Kumbe hujui..! Haya bwana....
cc Lady doctor, DEMBA. Acheni kunibaniaaaa. Kauzibe tu.
Duh...na wewe upo kwenye listi?
list ya nini?
Single ladies wa jf...
Aka mie.
Not available labda after 800 years.
Thats why! Unawatolea macho Lady doctor na Demba kwamba wanakubania kwa nini? Karucee u single huuwezi banaa...
Sipo single na wa kwao nitaendelea kuwakonyeza wakikatiza mitaa yangu.
No usijidanganye.Duh.....ngoja nikae mkao wa kula Karucee maana naona uko vizuri wewe 😉:thumbup:
No usijidanganye.
Sikukonyezi ng'ooooo!!
njoo kimya kimya basi... watakuja watakaokutokea eenh! usikimbie jumla hapa, sawa sweet potato?Kwi kwi kwiiiiiii mmmh mbona thijachetha mimi? Unanithingizia ww ndo umechethaaaa. Bathi waambie thiendi nimegairi
njoo kimya kimya basi... watakuja watakaokutokea eenh! usikimbie jumla hapa, sawa sweet potato?
He heee thawa bothi
Hujambo sweetie!!
Mamawe naogopa ukewenza raha ya gegedo ulipate mwenyewe pekeako
Chakula cha kugombania huwa kitamu sana asikwambie mtu banaa,hujawai jaribu bibie?!
excel eh what is it now! In naija voic,,njoo kimya kimya basi... watakuja watakaokutokea eenh! usikimbie jumla hapa, sawa sweet potato?
Kwanini ukascramble wakati vipo vyakula untouched special kwa ajili yako?
Mkuu Isack vitu untouched adimu sana kuvipata siku hizi. Vinachakachuliwa mapemaa.