mie sina makuu hata ki-alteza ktanifaa jaman! Afu leo nimekuandalia bonge la saprz,jiandae my sugarhun..
i do rememba! Ule mziki, nilinusurika kuzimia! I cnt wait to imagine ya body again!..aishshOooh! Come on nakusubiri kwa hamu kubwa sana! Si unakumbuka last timr ilivyokuwa?
i do rememba! Ule mziki, nilinusurika kuzimia! I cnt wait to imagine ya body again!..aishsh
rich paul u rock meen!
Thnx my love! I wish u could be here right now!
U know how to play.
Keep it for me my love.
He ushapata mtu mara hii!!
Upo mamie!mambo vipi shost?
Mambo ni poa mwaegwa,umpendae hajambo,
Ama kweli huu ni mwaka wa malove love kama alivyosema kiwatengu pale juu.
Iv mume wangu sikuhizi mbona hanimis jaman!!
Iv mume wangu sikuhizi mbona hanimis jaman!!
babylove..nimepoteza namba yako kwenye simu iliyoibiwa jana,
mbaya zaidi nilikuwa sijaikariri.
naomba uni pm.
i love u my sweetylove nakupenda sana.
afu nasikia kiu, naombaniisikie sauti yako tu
walau kiu yangu itulie.
nakupenda my 'Valentina'
Duuhh!No yangu hujaishika kichwan,umekariri ya nani sasa?
nilipata confussion kidogo,
kweli baby, ni pm