Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi hujaachika tu?
Kumbe yupo kwenye kipindi cha mpito?
Hujambo!
We mbona uko macho sana na mimi?
Mchawi no 1 wa ndoa yangu
Jamani hizi ndoa mbona zinamashaka mashaka sana
Nipo hapa kuwashauri
Yangu ipo imara sana
Siku nyingine upitie kwangu,alafu kwan mmeo daud1 hayupo ad umwombe mume wangu?
he samahani wifi kumbe alikuwa hajakuomba ruhusa? we uran ndo nini kutaka kunigombanisha na wifi yangu?
usijali wifi nilimuomba kwa ajili ya matumizi ya hapa nyumbani mana bi mkubwa alikuwa analalama amesahauliwa......!!!!
Yangu ipo imara sana
Mchawi no 1 wa ndoa yangu
Mbona unaongoza kwa mashaka
Kama ni imara punguza wasiwasi
Njoo unifumbe bac nilalee au vp Vale?
imebidi nijizibe macho nisipaone hapa kabisaa
Macho yako yana matege sikuhizi,au ni hizo pombe ulizokunywa
for ur goodness stop following my truly wife
Usiwe na hofu uran....wanasema kizuri kula na rafiki yako....teh teh. Nikabidhi Vale nimlinde wala usiwe na shaka nami kabisa mkuu.
Yani wote wasiwasi hii itavunjika very soon.