Haya bila shaka umeipata mylv
not yet sweety heart, umejisahamu ukatuma empty PM..i'm dying to hear u again my angel
Duuhh!No yangu hujaishika kichwan,umekariri ya nani sasa?
Hata mimi nashangaa mapenzi ya aina gani mliyonayo.....duh!
Heheee mapenzi ya dhat babu we
not yet sweety heart, umejisahamu ukatuma empty PM..i'm dying to hear u again my angel
Jamaa ako haikumbuki hata namba yako ya simu,ajabu!
Hua inatokea mambo yawapo vururuvururu
binti yupi unayemtaka we mume wa mtu???hiiiiii njia haifai hadi muda huu hamna hata binti mmoja aliyepita
He wewe na mume wangu inakuaje adi mtumiane midoli?
Hua inatokea mambo yawapo vururuvururu
hivi hujaachika tu?
Lady doctor ni wewe?!!!!!Nitakusemea kwa kaka yangu Arushaone!Heri wapatanishi!Hahahaaaa,wanapendana haohivi hujaachika tu?
He ushapata mtu mara hii!!
Kumbe yupo kwenye kipindi cha mpito?
Lady doctor ni wewe?!!!!!Nitakusemea kwa kaka yangu Arushaone!Heri wapatanishi!Hahahaaaa,wanapendana hao
ni mie sungura....... Ukinsemea schezi na wewe..!