Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Siku nyingine upitie kwangu,alafu kwan mmeo daud1 hayupo ad umwombe mume wangu?
 
Last edited by a moderator:
he samahani wifi kumbe alikuwa hajakuomba ruhusa? we uran ndo nini kutaka kunigombanisha na wifi yangu?
usijali wifi nilimuomba kwa ajili ya matumizi ya hapa nyumbani mana bi mkubwa alikuwa analalama amesahauliwa......!!!!

kumbe nilitakiwa kuomba ruhusa? sorry
 
imebidi nijizibe macho nisipaone hapa kabisaa

Usiwe na hofu uran....wanasema kizuri kula na rafiki yako....teh teh. Nikabidhi Vale nimlinde wala usiwe na shaka nami kabisa mkuu.
 
Yani wote wasiwasi hii itavunjika very soon.

utabakia kusema hivyo tu!! kama mlidiriki hadi ku hack account yangu kwa maslai yenu na bado tukawa imara
usitegemee kabisa kukuta mimi na mke wangu tumeachana, tumebadilishana hadi damu jamaa yangu.
only death will separate us!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…