Halafu mkishakuwa mwili mmoja?
haha siijui kweli ID yake nyingine......we ukiikumbuka uniambie tu ila hata ukioa siku zote ukae ukumbuke kuwa there was
a girl who really admires you
utamwisha kweli kweli, na hivi nimepitia na pweza wakutosha lazma umuishe
Kie kie kie mkuu umenifanya nicheke mpaka nimepaliwa na juice
hee we mbaba samahani usinivunjie ndoa yangu eh! ndoa yenyew ata siku haijamaliza,, nimekuPM sa ngapi? mkeo ana kazi aisee,,
we nae umetokea wapi, mpenzi wangu Tyta nakupenda tusiwasikilize wasiopenda penzi letu
Ndoa? Umeolewa leo? Aiseee vigezo na masharti ya ndoa ya cc vimezingatiwa kweli? Mmhhh
usiniharibie.....
Nafurahi kuona watu wanapendana
Linda ndoa yako kwa gharama zote[/QUOTE]
nimejiandaa mkuu...kimwili na kizana...