H aha ha ingekuwa poa sana tu nikawa nakosa mda wa kupost humu,ila siyo kukosa mda wa kufanya kazi za ajira yangu kiote nyausi hadhi ishuke,afu we ndukii
ama tujaribu,sema tutakuwa couple celeb humu,kama dangote na wema Heaven on Earth
Nyie watu bado tu mnatongozana humu?
Mwee yakwako nayaogopa aise,yatantetemesha
dangote ndiyo nani?
Mzee wa wiki aka tuzo 7!
kuna mtu namsaka
kuna mtu namsaka
We natania tu
Nenda kule kwenye ibada.
kuna mtu namsaka
We natania tu
Nakupenda wewe mwanaume mpaka naumwa. Raha unipazo miye ndio zinanifanya niwe na furaha muda wote.
Upendo wako, kujali kwako, upole na thamani unipayo hakuna awezaye fanya uyafanyayo, nitakupenda siku zote no matter what honey. Hope jana umeifurahia na kuipenda gift niliyokupa.
CC: sungura1980
mwallu mm nakukubali sana(kiroho safi tu nsije nkaharibu)we siafu dume wewe