Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Jamani mamaako hapendi shikamoo, ukimwambia anasema shika mwenyewe (usipe kelele akasikia mwisho wa sikanyimwa mtoto)

Unyimwe mara ngapi we kijana mbona huelewi? Yan we unakuja kwa mamkwe umevaa shati la mikono mifupi ebo...
 
Jamani mamaako hapendi shikamoo, ukimwambia anasema shika mwenyewe (usipe kelele akasikia mwisho wa sikanyimwa mtoto)

yule aleshushuliwa na bmkubwa ni mkorofi lakn shkamoo anazpokea vizuri tu.
 
Kaa mbali na mimi kijana...mwanangu huchukui hata ukijipendekeza

Nimeshanunua shati la mikono mirefu, suruali ya kitambaa na viatu vya ngozi. nimekubebea na kazawadi kidogo!
hope nimeanza kuwa na vigezo.
 
Nimeshanunua shati la mikono mirefu, suruali ya kitambaa na viatu vya ngozi. nimekubebea na kazawadi kidogo!
hope nimeanza kuwa na vigezo.

Imekula kwako hiyo swahiba....shati la mikono mirefu 'means' mkwanja banaa.....
Watanashati mbona wengi tuu na mashati yao?!
 
We mtoto kila muda unataka kufuatana na mimi....si utamuua mkwe wangu kwa njaa wewe...

mama nakupenda wasije wakakuteka tubaki pekeetu kama ambavyo baba katuacha lazima nikulinde bmkubwa.
 
Agggghhh! sa muda wote unanicheleweshea kwa nin? niko vema wewe! hako ka zawadi kalikuwa funguo za mark 2!

naona umemlainisha bmkubwa safi sana siri yako lakini asije akanisikia haya maneno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…