Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Jamani mamaako hapendi shikamoo, ukimwambia anasema shika mwenyewe (usipe kelele akasikia mwisho wa sikanyimwa mtoto)
Unyimwe mara ngapi we kijana mbona huelewi? Yan we unakuja kwa mamkwe umevaa shati la mikono mifupi ebo...