Mi jamani nampenda huyu dada anaitwa Heaven on Earth,sijui kwa nini kila nikipita ninapoona jina lake tu nahisi kuna kitu cha tofauti ndani ya moyo wangu.Natamani siku nikutane naye live.
Nakupenda sana mine!
Aisee kumbe!! Mie mgen huku nionyesheni njia ya jukwaa la mapishi!hivi naweza kutangaza ndoa kwa mtu ambae ana ndoa nyingine....?
Aisee kumbe!! Mie mgen huku nionyesheni njia ya jukwaa la mapishi!
Hapana mwae me siitaji.
acha uongo sema kweli...! au tutetee pembeni?
ingilia kati ucheze
utaenda mpikia nani wakati huna bwana...?
tuongee vizuri ili twende tukajipikilishe wenyewe au wasemaje stable woman....?