Weeee koma na uzee wote huo mama'ngu ndo kwanza anadai ana uwezo wa kukuzaa wewe?
anaijua shida yangu na hana shaka nami....Hahahaha....ungejua shida yake...
mkuu wajua mimi sina hata dosari....
mh.. usiwe na tabia mbaya....Baba mtu mbaya huyu mtimue apite mbali.
Bora mom umejua, mdokeze dady amtimue.....
Nikimbie niende wapi, nlikua nawaangalia Tu jinsi mnavyo peana matumaini yasiyokuwepo, ilhali Mimi Nina shares zangu huko, anyway kama VP muulize mkeo vizuri Jana mchana baada ya kutoka church alikua wapi, maana alikudanganya anaenda jumuia kumbe ndo tumechepuka, wewe jipe matumaini Tu kama bushoke, kwenye ule wimbo WA mume -----, we haya
Nikimbie niende wapi, nlikua nawaangalia Tu jinsi mnavyo peana matumaini yasiyokuwepo, ilhali Mimi Nina shares zangu huko, anyway kama VP muulize mkeo vizuri Jana mchana baada ya kutoka church alikua wapi, maana alikudanganya anaenda jumuia kumbe ndo tumechepuka, wewe jipe matumaini Tu kama bushoke, kwenye ule wimbo WA mume -----, we haya
mh.. usiwe na tabia mbaya....
baba anajua sina shida kabisa....
ndio tena anaweza kunizaa akikimbia kama bolt....
Sitaki hata Kumtaja, ILA Ni huyo anayeuita mchepuko wangu switi,
Me naongea na my dady pita mbali we babu....
We acha kumzeesha my mom.
dady anapenda nikuchukue kwakuwa tabia zetu zinaendana....
braza... mambo vipi?
hivi huyo unaemtaja Ndio nani hasa ....?