Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima


ukame wamfanya amkumbuke ex wake excellent, yaonekana jana hukuwapata wale pweza, lolest.

man, you gotta do something, asap! hii case yako ni serious kuliko unavyofikiria. shemeji anaficha kitu
 
Last edited by a moderator:
ukame wamfanya amkumbuke ex wake excellent, yaonekana jana hukuwapata wale pweza, lolest.

man, you gotta do something, asap! hii case yako ni serious kuliko unavyofikiria. shemeji anaficha kitu

kaamua kunitibua tu huyu..sijawahi kujua kabisa kama aliwahi kuwa na EX...😡
 

Vitu vingine vifumbie macho bwana n cc
 
It has been passed and stamped. Tutasimamia utekelezaji wake, ila huyo uran sijamuona kufika nyumbani kwangu, sijui kajimilikishaje binti yangu valentine wajameni.. "Ikiwa wanautendea hivi mti mbichi itakuaje kwa mti mkavu???":A S 20::A S 20:

teh teh teh ..huwa wanaanzia mtaani kwanza then ndiyo wanakuja nyumbani
waache vijana wasomane kwanza
 
asante sana nadhani hapa ni kumwita tu baba paroko aje apokee love lako..

Eiyer!! njoo njoo kwa kipande hii kuna mambo matamu...

Mukuu nimeshaitikia wito
Naona kuna mambo "matakatifu" kwaajili ya mheshimiwa Baba Paroko

Nimkuja
Hebu nihabarishe mukulu ....!!!!!!!!!
 
Mukuu nimeshaitikia wito
Naona kuna mambo "matakatifu" kwaajili ya mheshimiwa Baba Paroko

Nimkuja
Hebu nihabarishe mukulu ....!!!!!!!!!

kama kichwa cha habri kinavyosema, halafu jana nilisahau kukupa special copy..

sasa kuna huyu bi dada kasema yeye anakupenda wewe na ana amini kwako
atapata furaha anayoihitaji..
 
Eti Evarm unataka kunipa nini??

she want to give you love!!
tena ile imara zaidi, kuna maswali nimemuuliza akiyajibu atakuja kwako moja kwa moja
ila lazma at first atuambie kama yeye ni wa kudumu ama wa muda..
hatuzitaki couples za msimu mwaka huu.

Pia hii itatuondolea kutengeneza couple na watoto wa shule...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…