sina ndugu mwenye tabia za huyo jamaa....Unamkana ndugu yako mbona tabia zenu zinafanana?
eti sina ubavu, wewe piga teke bahati yako....Huna ubavu huo wewe
waweza kufafana na mtu tabia lakini akawa si nduguyo....Udugu kufanana tabia
sina ndugu mwenye tabia za huyo jamaa....
eti sina ubavu, wewe piga teke bahati yako....
waweza kufafana na mtu tabia lakini akawa si nduguyo....
Pole wenzio wanafanana tabia nzuri wewe sasa.....bahati nishaipata kwa my sweet wangu we kawape wengine...
Huna ubavu huo wewe
Mtoto wangu huyu babu hafai popote pale kukutana nae! Ata Huko pm hafaiiii!
Asa we ngosha, huyu janeth1 unataka umzalishe mwenyewe???
Mtoto kama huyu anahitaji huduma ya babu. Vijana watamchakachua.
Ataula wa chuya utajuta kumzaa. Shauri zako!!
Kwani mwanyasi kamuacha bro?
msije mkashikana mashati aisee!
Asa we ngosha, huyu janeth1 unataka umzalishe mwenyewe???
Mtoto kama huyu anahitaji huduma ya babu. Vijana watamchakachua.
Ataula wa chuya utajuta kumzaa. Shauri zako!!
Nimekumiss we mwanamke