Kijana wengi wameshapitia mapito hayo, kama huyo mwanamke anakupenda ulipobaini kuwa yupo na njemba ingine asingekuwa anakulete jeuri, dharau na visa...angeendelea tu kuvunga anakupenda tu la kini si kukudharau!
Mwanamke anayekupenda,nikwambie huwa hathubutu hata siku moja kukufanyia visa, mkwara, jeuri hata kama kutokana na mazingira aliyopo anaweza kutembea na mume mwingine e.g bosi wake, work mate.....mtu anayependa huendelea kumpenda tu!
Nionacho mimi huyo kapigwa kibuti huko mpenzi wake mpya au kaona jamaa anaye wake so wewe anakuona ni last resort, na kumbuka wanawake wengi siku hizo wako desperate sana kupata wachumba wakuwaoa ili waheshimike, lakini si lazima awe anakupenda! na usipoangalia ukija kumwoa usishangae akaendelea kutembea na huyo jamaa (mtalaka hatongozwi mkuu)! So be very careful