mwenzio Nina gundu
Hiyo silaha yako mpaka niwe mbali ndo unilenge lol..
Ulivyoitikia vizuri,mie mkubwa wako ujue,...upweke umeisha?
Wewe si ndo ulienikemea eti hauna gundu??,nenda kwa mzee wa upako...ila nasikia anaombeaga wasichana tu.
Cku hizi kwetu huku majanga yani tanesco balaaa
Kwa nani tena??
Yani hawa ni janga kila mahali,bei watupandishie na bado watunyanyase na li umeme lao....
huku niliko toka asubuh ndo unarud sahz
Nakusubiria uingie kwenye kale ka ghorofa kako nakumaliza .......lol!!!!!!!!!!!!
Bora nyie mgao sie transfoma imeungua karibia mwezi hawajabadilisha
Napita tu hapa jamani
hahahahah si utanisindikiza mdada
Umejuaje kuwa wewe mkubwa kwangu??
Bado haujaisha aiseee !!!!!!!!!!!!!!
Yani hawa ni janga kila mahali,bei watupandishie na bado watunyanyase na li umeme lao....