Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

nami Excel niko kwenye mlolongo wa kusaka mdada mwenye true love hapa tujifungashie ndoa tuondoke kabisaaa!!

(sharti!! usiwe kwenye ndoa kama nilivyofanyiwa last time, i love once tafadhali! hakikisha uko single 100%!!!)

sipendi kelele mie mwana wa watu!
 
Last edited by a moderator:
Mwenye kisu kikali ndie atakaekula nyama ......

images

Unanitisha bana na mabisu yako........
 
nami Excel niko kwenye mlolongo wa kusaka mdada mwenye true love hapa tujifungashie ndoa tuondoke kabisaaa!!

(sharti!! usiwe kwenye ndoa kama nilivyofanyiwa last time, i love once tafadhali! hakikisha uko single 100%!!!)

sipendi kelele mie mwana wa watu!

Mkuu sasa hapa utakuwa hujakamilisha mpango...cha kufanya hebu toa jina la mtu afu watu tufanye tathmini....
 
Last edited by a moderator:
Jaman me mwenzenu White girl! ataniua kwakweli.Mfikishieni ujumbe NAMPENDA NAMPENDAJEEEEEEE!,nitajitahidi japo tukaishi Zambia kwani bongo majungu.NAKUPENDA White girl plz.

Endelea kuvuta subira white girl bado anatafutwa...
 
Last edited by a moderator:
kiwatengu nimeshitushwa kusoma ati couple yangu na mtawa mwallu huitambui....kweliiiii!???????

Nangojea ukanushe kauli yako kabla sredi hii haijaingizwa kwenye hansard.

Cc: vizabizabina wote.

Nikikuita mara tatu humu ili uniambie juu ya hili, ila haina tabu hata kidogo
mwallu mi najua ni kwa kiasi gani haitaji kuwa mtawa..najua anapenda sana wa kumpenda kama wewe unavyofanya...
Kama ni uttawa au u sister haumfai...go go go Mentor
 
Last edited by a moderator:
kiwatengu,
This is not fair at all.
Its my original ID, i have never tried to change or have alternative to this.
Thanks by the way.
NAJIONDOA KWENYE HII THREAD FOR GOOD.

Oh! Dont go Evarm, ntakuambia ni kwa nini...when u have a time please read my PM and reply it, naomba usikasirike hata kidogo..
 
Last edited by a moderator:
Nikikuita mara tatu humu ili uniambie juu ya hili, ila haina tabu hata kidogo
mwallu mi najua ni kwa kiasi gani haitaji kuwa mtawa..najua anapenda sana wa kumpenda kama wewe unavyofanya...
Kama ni uttawa au u sister haumfai...go go go Mentor

Naomba mabadiliko haya yafanyike pale mwanzo wa thread tafadhali....amm not going, I went already sasa mbona kunrudisha kwenye tongozo upya!!!
 
Last edited by a moderator:
Naomba mabadiliko haya yafanyike pale mwanzo wa thread tafadhali....amm not going, I went already sasa mbona kunrudisha kwenye tongozo upya!!!

Noted mkuu..i will do as you wish...
Ngyiyesa kapsa iha..nualyika indi mekuu!! mana chu mcha..
 
Safi sana mkuu kama ni white girl weka vema...

Kaka Kiwatengu nifikishie hizi taarifa kwake,"White girl mwenzako hapa sijiwezi kwakweli" I real ADMIRE u beauty.U ar the only one in my moment time of my life in ths world.LOVE U
 
Last edited by a moderator:
Kaka Kiwatengu nifikishie hizi taarifa kwake,"White girl mwenzako hapa sijiwezi kwakweli" I real ADMIRE u beauty.U ar the only one in my moment time of my life in ths world.LOVE U

Kwa vocal hizi...duh huyu white girl hachomokiii..
 
Last edited by a moderator:
One day i will find the right words
and they will be simple kiwatengu
Nikikuita mara tatu humu ili uniambie juu ya hili, ila haina tabu hata kidogo
mwallu mi najua ni kwa kiasi gani haitaji kuwa mtawa..najua anapenda sana wa kumpenda kama wewe unavyofanya...
Kama ni uttawa au u sister haumfai...go go go Mentor
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom