Hahahha
Naona unachekelea.
Matamu sana
Unafikiria nini tena CC?
Unafikiria nini tena CC?
Sijasoma hapa usijaliMbona unanitamanisha!!
Yes niambieHny!??
Labda pacha wanguha ha ha juzi si niliona picha yako ukiwa university wewe,?
Aibu utaona wewenimeamini
nimeamini nakwambia
kikulacho ki nguoni mwako dah
Aisee very interesting.Nataka nijaribu zile fikra za kizungu, kujiachia na kuonja maisha hakuna majuto. Inakuwa uamuzi tu
utaua watu kwa wivu kweli kwa style hii
Sitakaa nikuzibie wewe endelea tu kwa amani tele
Jinsi ya kujipatia raha, Madame B ananipa hamu ya kujaribu namie niishi niseme nilikula raha jamani.
Ndio ukaamua ukimbilie kwa manyau nyau!! No wonder!
Ulikuwa haupo maana nimekuja nakupigia simu yako haipatikanikiPoa karibu sana, nimefika muda si mrefu.
Mie siko nae tena huyo alikuwa kimchepuko wangu alikuwa analipia bili zangu za kila siku
Na wakufe tu maana hamna namna.utaua watu kwa wivu kweli kwa style hii