Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Fumba machoAibu naona mimi[emoji85]
Hapana.Andalio la mgegedo ama?
Hata mimi sijaandika hapo kwakweli!!Sijasoma hapa usijali
Huwezi elewa nilichomaanishaFumba macho
Sawa... inawezekana... naomba unielewesheHuwezi elewa nilichomaanisha
Kwahiyo kumbe kushindwa ni given!!Hayeni.
Yakiwashinda mnitafute nije kuwapa ushauri
Mchezo una wenyewe huu ndugu yanguSawa... inawezekana... naomba unieleweshe
We una waza huu uzi utafungiwa lini? Wakati mapenzi sasa yameeenda mbali tumefikia kuuana kwa ajili ya Mbunye.Huu uzi utafungwa lini?
Balaa hiloWe una waza huu uzi utafungiwa lini? Wakati mapenzi sasa yameeenda mbali tumefikia kuuana kwa ajili ya Mbunye.
Jas kam zis wei plizzz cocochanelSijui na mimi nijaribu kupata wa kupiga nae sogo humu jf??? naona nina miaka 10 yakusoma humu na tisa tangu nijiunge, labda itakuwa game nzuri nikijaribu.
Nafikiria mmmmmmmh
Inabidi tukae kama kamati mkuu tujadili kwa kina....kuna wengine humu wana 'kapo' zaidi ya moja.Hivi humu inakuaje kuaje khs totoz
Tatizo MO11 hajiamini kabisa....utadhani anaoga nje banaaWe hauaguliki mpenzi, we wangu tu.